OTHER WEBSITE LISTS


Monday, September 12, 2011


wanusura wa ajali wakiwa wamekaa juu ya boya ili kuokoa nafsi zao wakati, chini ni maiti za watoto zikiwa zimelazwa chini baada ya ajali ya meli ya Mv spice islanders iliyotokea usiku wa kuamikia Jumamosi ya tarehe 10 September. ajali hii inapaswa kuangaliwa kwa undani zaidi kwani mbali na sababu kadha wa kadha ambazo watu wamesema kwamba ndio chanzo. kikubwa ni kujua kwamba shetani yuko kazini na jambo kubw analolifanya ni kuhakikisha anawapata watu wengi. watu wa Mungu ni kazi kwetu kuhakikisha kwamba tunabomoa kikakati ya shetani yote dhidi wa watu. na ni kwa njia ya maombi pekee ndio inaweza kusimamisha ajali za namna zote yani majini na nchi kazi ambazo zimekuwa zikijitokeza kila kukicha.

No comments:

Post a Comment