OTHER WEBSITE LISTS


Friday, August 12, 2011

waumini hawa wa kanisa la Bethel Baptist wakiomba huku wakiwa wameinamisha vichwa vyao chini katika mji wa Spanaway kwenye beach ya Cranberry,kusini mwa bahari ya Pasifiki wakati mtoto Dale Ostrander, mwenye miaka 12 alipozama kwa dakika 20 na alipop[elekwa hospitali huku ndugu zake wakiomba aliweza kuwa mzima kiasi cha kuwashangaza madaktari.

No comments:

Post a Comment