OTHER WEBSITE LISTS


Sunday, June 26, 2011

Jibu la Maisha! Jibu la Maisha! Jibu la Maisha!

Gazeti lako la Kikristo la kila wiki
Wiki hii lina habari moto moto zifuatazo,
1 Hatimaye kesi ya Biblia yatinga Mahakama Kuu
2 Kauli ya TAG kuhusu habari iliyoandikwa na Habari Leo
* Gazeti lamuomba radhi Askofu Dk.Mhiche
* Katibu Mkuu atoa ilani kwa vyombo vya habari
3 Kanisa Dar lachomwa moto
* Kanisa labaki majivu, nyaraka za kanisa zateketea
4 Atupwa jela miaka 5 kwa kumchapa mwanawe
Mhariri naye asema Katiba mpya isigeuzwe hekaya ya Abunuasi
Gazeti hili pia lina makala mbalimbali za kuelimisha na kufundisha jamii kama;
* Utata wa waraka wa waabudu shetani
* Masuala yaliyopo siku za leo katika tafsiri za unabii
Jibu la Maisha pia lina matangazo kadha wa kadha na linasambazwa nchini
Ukilikosa Jibu la Maisha unakosa kuelimika

No comments:

Post a Comment